KAMA ULIMISS KIKAO KATI YA WANANCHI WA KIGAMBONI NA MBUNGE NDUNGULILE, KILA KITU KIPO HAPA
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni ambalo ni wilaya mpya ya mkoa wa Dar
es salaam kwa sasa Mheshimiwa Faustine Ndungulile(Mb) amefanya mkutano na wananchi
wa kata yaTungileo Kigamboni, Dar es salaam. Mkutano uliokuwa na malengo ya kuelezea
michakato na kutoa mrejesho wa masuala mbalimbali ya kimaendeleo ya jimbo la
Kigamboni pamoja na kusikiliza kero mbalimbali kutoka kwa wananchi wa Kigamboni
hususa ni mtaa waTungi.
Hii ni moja ya uwepo wa uchapa kazi wa Mbunge huyu kwa wananchi wake wa kigamboni.
Tizama picha za mkutano huo hapa chini.
Mh.
Faustine Ndungulile(Mb) akiteta jambo na Katibu kata ya Tungi
Wananchi wakifuatilia kwa makini wakati Mheshimiwa Mbunge akizungumza
Mh. Faustine Ndungulile akielezea kitu
Mwananchi akiuliza swali
Mh. Ndungulile(Mb)
akisalimiana na baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano
Leave a Comment