DIAMOND PLATNUMZ APATA MTOTO WA KIUME LEO TAREHE 6 DISEMBA 2016, UTATA WA KUCHAGUA JINA WAIBUKA

Hizi ni picha za awali kabisa mbili alizozipost diamond mara baada ya mtoto kuzaliwa hapa ni miguu ya mtoto uyo wa kiume.


Picha ikionesha vidole vya mkononi vya mtoto uyu wa Diamond Platnumz na Zari the bosslady.


Diamond akiwa south Africa na mama yake mzazi bi sandra na mpenzi wake zari kabla ya zari kujifungua
Zari the bosslady baby mama wa Diamond Platnumz.







(Tareh 6/ 12/ 2016 saa kumi na dakika 35 Staa Mpya wa akiume alizaliwa katika hospitali ya NETCARE iliyopo mjini Pretoria / South Africa... kutokana na wazazi wake kutofikiana Muafaka wa mtoto aitwe jina gani, ilipelekea mtoto huyo kuchelewa kupostiwa kwenye Mitandao ya kijamii ya Wazazi wake.... tusubiri tuone @zarithebosslady na @DiamondPlatnumz wataishia kumpa jina gani Mtoto wao...✍ )

Diamond Platnumz apata mtoto wa kiume leo tarehe 6 disemba 2016, lakini wamepata utata katika kuchagua jina ikiwa diamond platnumz ana jina lake kichwani na zari akiwa na jina lake lakini kufuatia post alioandika instagram muda sio mrefu watatangaza jina la mtoto, Diamond platnumz sasa anawatoto wawili na zari ikiwa wa kwanza ni Latifa akijulikana kama princess tiffa mwingine huyu wa kiume aliezaliwa leo jijini South Africa.

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.