MAANDAMANO MAKUBWA YAFANYIKA KUPINGA USHINDI WA TRUMP MAREKANI
Kumekuwa na maandamano ya kupinga ushindi wa Donald Trump kutoka katika miji mbalimbali nchini Marekani.
Maelfu
ya raia kwa sasa wamekusanyika nje ya mnara maarufu kama Trump Tower
mjini New york wakipaza sauti zao kuhusu sera za uhamiaji,mapenzi ya
jinsia moja na haki ya uzazi yanayopingwa na Donald Trump.
Wanasema hata dunia ina wasiwasi juu ya ushindi wa urais.
Aidha aliyekuwa mpinzani wa Donald Trump, Mama Hilary Clinton amewaambia wamarekani katika Hotuba yake kwamba Trump anastahili nafasi ya kuongoza.
Leave a Comment