VIDEO: MAALIM SEIF APIGWA MARUFUKU KUZUNGUMZA MISIKITINI ZANZIBAR

Katibu mkuu wa Chama cha wananchi CUF Maalim Seif, amepigwa marufuku kuzungumza katika misikiti visiwani Zanzibar. 
Mgogoro wa kisiasa baina ya chama cha wananchi CUF na serikali ya Zanzibar unaendelea kufurukuta licha ya jitihada zinazoendelea za kutatua mgogoro huo.
Hali hiyo imejitokeza baada ya katibu mkuu wa CUF Maalim Seif kupigwa marufuku kuzungumza misikitini hatua ambayo imepingwa na baadhi ya vyama vya upinzani nchini Tanzania.
Kwa Habari zaidi tizama video hii 


 Subcsribe katika blogu ya siri za jamii kwa taarifa zaidi

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.