PICHA: JUMBA JIPYA LA KIFAHARI LA MSANII ALIKIBA LAWEKWA HADHARANI

Baada ya kimya kirefu msanii wa bongo fleva kupitia ukurasa wa instagram ameweka hadharani jumba lake la kifahari lililopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam japo haikuwekwa wazi thamani ya nyumba hyo lakini inasemekana jiko peke ake limegharimu thamani ya shilling millioni 19 . Alikiba bado hajaamia katika mjengo huo na kama watanzania wanavyojua Alikiba sio msanii wa kupenda kuanika mambo yake hadharani kirahisi lakini tafiti za chini chini zimedai Alikiba amekua akionekana kila mara katika mjengo huo ikidaiwa anafatilia ujenzi, huu ndio mjengo wake mpya ambayo ina ghrofa mbili na sasa mafundi bado wanamalizia decor.




Video ya sehemu ya jumba hilo la kifahari

Leave a Comment