BARAKA DA PRINCE AKASIRISHWA NA UTANI WA STANBAKORA NA KUMCHANA LIVE MTANDAONI

Screenshot_2016-10-10-06-52-24.png


katika hali ambayo ni ya kawaida wasanii wengi wa comedy ufanya cover za wasanii wengine na kujipatia kipato katika tasnia yao ya commedy lakini hali imekua tofauti baada ya stan bakora kujipaka masizi ili kuonesha uhalisia katika video cover yake lakini kitendo icho kilimkera sana baraka da prince na kudai kuwa ataki matani na stan bakora lakini katika hali ambayo ni yakushangaza stan bakora amepost maneno na kuandika kwamba alipewa ruksa ya kufanya ivyo kwa hyo ameshangazwa na kitendo cha baraka kumaindi wazi wazi na kumpa maneno katika page yake ya instagram.


stanbakoraTangu naanza kufanya Cover za Wasanii Sijawahi kufanya Cover Ya msanii Yyt Pasipo Makubaliano Kati Yangu Mm Na Msanii Mwenyewe ,Ndivo Hvyo ilivyokuwa Hata Kwenye Cover Ya #Nisamehe Ya @barakahtheprince_... Before Ya Kufanya Tulikubaliana Kwanza,Sasa Nashangaa Kuona Anapost Na Kuongelea Kitu ambacho Kama Hatujakubaliana.!!

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.