TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA
| Niklas sule |
Chelsea
wameingia kwenye ushindani mkali na liverpool kwa kumtolea macho mchezaji ambe
alikuwa akiwaniwa mda mrefu na club ya Liverpool katika Lengo la kumwania Niklas Sule
ikiwa ni taarifa zilizotolewa na wakala wa beki huyo wa Hoffenheim . Tetesi
hizi zimevuka mipaka ikiwa team kama Reds
, pamoja na Wolfsburg, Borussia Dortmund, Bayer Leverkusen , AC Milan , Napoli
na Roma, wamekuwa wanaohusishwa na kumwania mkali hyo wa Hoffeinheim.
Mwakilishi wa
Niklas Sule , Karl-Heinz Forster , alizungumza kwa waandishi wa habari kwa
kusema : "Ndiyo, matamanio yalikuwepo alikuwa huko na waingereza wameweka
wazi kwamba maslahi yao mwaka ujao bado ni halali. ".
Mchezaji hyo
mwenye umri wa miaka 21 wa kimataifa raia wa Ujerumani ameripotiwa kuwa na
furaha kwa kulipwa zaidi katika kikosi cha kwanza na Hoffenheim kabla ya
kufanya maamuzi katika kupiga hatua nyingine ambayo ni ya pili katika kazi
yake.

Leave a Comment