MAALIM SEIF NA EDWARD LOWASA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM LEO JIONI

Posted by
 Siri za jamii
On 5 sept, 2016


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati walipokutana Leo, jijini Dar es salaam.  Ambapo Maalim Seif nyakati za jioni alipomtembelea Edward Lowasa nyumbani kwake Masaki walipokutana kujadili juu ya hali ya siasa visiwani Zanzibar.

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.