MAAJABU YA IPHONE 7 NA IPHONE 7 PLUS BAADA YA KUZINDULIWA NA TOFAUTI ZAKE

Apple's new iPhone 7 and iPhone 7 Plus are likely to be the biggest selling smartphones of 2016. Image credit: Apple
Wale wataalamu wakupenda iphone kampuni ya apple imewaletea toleo jipya la iphone 7 na iphone 7 plus uko San Fransisco, Carlifonia Marekani, nkaona mwanajamii mwenzenu niwaletee taarifa hii kiukweli kwangu ni taarifa mbaya kwa sababu sijui lini na mimi mswahili ntamiliki Tunda ila kwa nyie wasomaji wangu naamini mko vizuri mniazimege na mimi ndugu yenu nipige selfie

Ni ule muda mwingine mzuri wa mwaka:iPhone mpya. lakini iPhone 7 na iPhone 7 Plus sio kama simu zinyinge za apple  ‘namba zinabadilika’. japo kwa nje zinaweza kuonekana zimefanana zote. Yani iPhone 6S, iPhone 6S Plus and iPhone 6 and iPhone 6 Plus. sasa swali la kujiuliza kama wametuangusha au la? hzi simu zinaenda mpaka Euro 719 kwa GB 32, Mpaka Euro 919 256 GB hapa space ya kutosha pia bila kusahau mkwanja nao umechangamka atari.

earphonesss
Airpods ambazo ni wireless sambamba na hilo  zinatumia mfumo mpya wa flash wa (Quad-LED True Tone flash).Add caption













apple-7
Mzigo unaweza kustaimili maji ndani ya dakika 30 kwa urefu wa futi kuanzia 3.2
podsiPhone 7 using an Lighting to 3.5mm headphone jack adaptor, which comes bundled in the box. Image credit: Apple

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.