JUMBA LA KIFAHARI ALILINUNUA DIAMOND PLATNUMZ SOUTH AFRICA NA KUTOA UJUMBE MZITO KWA ZARI


hhh


(Wanakazana kujisifu Matajiri Ilhali watoto zao wanaishi kwenye Nyumba zakupanga... halaf leo yuleyule wanaemtukana kutwa kwenye Mitandao kuwa Masikini, kajawa na shida, Kanunua nyumba kulekule kwao ili watoto wao waishi Maisha bora kama wanayoyatamani... Heri ya siku ya Kuzaliwa Mama tee wangu.... Nakupenda sana na unalifahamu hilo...natumai umeipenda Nyumba yetu hii mpya South Africa... nasubiria kwa hamu kusheherekea nawe siku yako hii kubwa kesho zanzibar....😙🌷🎉🎂🎂🎉🌷)

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.