DAWA ZA KULEVYA NI SUMU KATIKA JAMII YETU MASKINI CHIDBENZI INATIA HURUMA
| Rapper ChidBenz |
Ni taarifa nyingine na za kustua zilizosambaa baada ya chidbenz mwanamuziki wa Bongo Flava ambae ajamaliza ata mwaka baada ya kutoka sober haouse na kukiri kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya lakini zimekuwepo taharifa kwamba rapa uyo amerudi tena kujidunga dawa za kulevya. kuhusu taarifa za kwamba
Chid Benz amerudi kwenye matumizi ya dawa za kulevya.
‘Ni kweli nimepokea taarifa
kwamba Chid Benz amerudia kwenye Madawa najaribu kumtafuta sana ili
niweze kumrudisha tena Sober House ninaamini tumpe nafasi ya pili kwani
dawa za kulevya ni hatari na hii itakuwa mara ya mwisho kwake’
‘Kwa
kesi ya Chid Benz mara ya kwanza alisema amepona baada ya kumpeleka
kule Sober House lakini tutampeleka tena na kuhakikisha anapata matibabu
bora sana na kuachana na Dawa za kulevya’

Leave a Comment