ALIEJIRUSHA GHOROFANI KISA MAPENZI AFARIKI DUNIA LEO



Kijana aliejirusha ghorofani nchini Uganda baada ya kutoswa na mpenzi wake aliemsomesha toka kidato cha nne mpaka chuo kikuu na kufanikiwa kupata ajira amefariki leo kutokana na majeraha aliopata baada yakujirusha kutoka ghorofani

je unahisi ni kitu gani kinachowafanya wanawake wawasaliti wapenzi wao wanao wasomesha na kufanikiwa katika maisha?    >>>USISAHAU KULIKE,KUSHARE, NA KUKOMENT PAGE YA SIRI ZA JAMII<<<

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.