Marcos Alonso beki kutokea Fiorentina kutua ndani ya chelsea kabla ya dirisha kupigwa kufuli kwa Euro 24M





Marcos Alonso

View image on Twitter
Mangala
 

View image on Twitter
Didier Ndong
Taarifa za usajili zimeendelea kurindima barani ulaya kwa upande wa Sunderland wamemsajili kiungo wa Gabon Didier Ndong akitokea Lorient kwa mkataba wa miaka mitano kwa dau la £13.6m .
 View image on Twitter
Wilfred Bony mkali ambae amekuwa akivutiwa na nyimbo za baadhi ya wasanii hapa Tanzania amejiunga na Stoke City kwa mkopo akitokea Man city. 

                                          

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.