DIAMOND, ALIKIBA, VANESSA MDEE NA NAVY KENZO KUWANIA TUZO ZA SOUNDCITY MVP NCHINI NIGERIA

List nzima ya majina ya wasanii watakaowania tuzo za Soundcity MVP 2016 yametangazwa. Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitatu, Vanessa Mdee viwili huku Alikiba na Navy Kenzo wakiwa na kipengele kimoja kimoja. Tuzo hizo zitatolewa kwenye ukumbi wa uliopo Eko Hotel jijini Lagos nchini Nigeria, December 29. Ili kuweza kuwapigia kura wasanii unaowapenda, bonyeza hapa.
Vifuatavyo ni vipengele walivyotajwa kuwania wasanii wa Tanzania.






 

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.