BREAKING NEWS: ALIYEKUWA WAZIRI WA ELIMU NA MBUNGE WA MUFINDI, JOSEPH MUNGAI AMEFARIKI DUNIA

 Marehemu Joseph Mungai enzi za Uhai wake
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba aliyewahi kuwa Waziri wa Elimu na Mbunge wa Mufindi, Joseph Mungai amefariki dunia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
- Aidha mwanasiasa huyo mkongwe nchini alikihama chama chake cha CCM na kujiunga na chama cha siasa cha CHADEMA katika harakati za uchaguzi mkuu mwaka 2015.
Habari hizi ni kutoka kwa Familia na ndugu wa karibu na Joseph Mungai.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema, Amin.

2 comments:

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.