MADEREVA WA KITANZANIA WA MALORI 12 WATEKWA NYARA CONGO NA MALORI YAO KUCHOMWA MOTO




Hii ndio hali halisi ilivyokuwa



Watekaji hao walitoa saa 24 kuanzia kuanzia jioni ya September 14 wakitaka walipwe fedha kiasi cha dola za Kimarekani 4,000 kwa kila dereva ili waweze kuwaachia pia walitishia kuwaua mateka hao endapo hawatalipwa kiasi hicho cha fedha walichokitaka mpaka kufikia jioni ya leo.

Taarifa za mwanzo zimedai kuwa madereva wawili kutoka Tanzania walifanikiwa kutoroka na ndio waliotoa taarifa za kuhusu tukio hilo. Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema imeshachukua hatua za awali za kuwasiliana na Serikali ya DRC ili kuhakikisha kuwa madereva hao wanaachiwa haraka iwezekanavyo wakiwa salama kabisa.

No comments

SIRI ZA JAMII. Powered by Blogger.