HAKI ULIZONAZO KAMA RAIA KABLA NA MARA BAADA YA KUKAMATWA NA POLISI KWA MUJIBU WA SHERIA ZA NCHI
![]() |
posted by Jackson Msuya, 30 August 2016 |
1. Kudai kitambulisho kwa mtu anayekukamata
2. kufahamu polisi anayekukamata anatokea kituo gani
3. Kujua kosa unalokamatwa nalo
4. kuhitaji kuona hati ya yeye anaekukamata
5. Haki ya kupata rufaha kulingana na kosa
6. Haki ya kuwakilishwa na wakili
Mpaka hapo nadhani mwana jamii mwenzangu umeshapata mwanga baadhi ya vitu vya kufanya pindi swala ilo linapokukuta na katika ili pia inategemea na jinsi utakavyokamatwa kaa na mimi nipate kukufungua vitu vingine vingi kuhusu jamii inayotuzunguka
Good.... Lot of improvement needed
ReplyDeleteIf thise rights are violated by the same authority like polices then what can be the possible help?To know is one thing.
ReplyDeleteThanx uncle
ReplyDelete