ALIKIBA AMTUPIA LAWAMA MENEJA WA DIAMOND PLATNUMZ KWA KUMZIMIA MIC KWENYE SHOW MOMBASA

Alikiba alipokuwa akizungumza na Mtangazaji wa kipindi cha Mambo mseto cha Radio Citizen ya Kenya Willy Tuva"sasa sikujua kitu gani nilichofanya mpaka mtu amekuja na kudisconnect mic alafu kuna vitu amambovyo sijavielewa ambavyo vilikuwepo katika show mimi pia sijafurahishwa na ivyo vitunilimuona meneja wake Diamond kaja pale yeye amefata nini backstage inamuhusu nini show mpaka awepo backstage sababu kuna sehemu nyingi mtu unaweza kukaa na kuangalia show kama VIP ata kama watu wanafikiria mimi na Diamond tuna bifu na vitu kama ivi vinatokjea kiukweli haileti picha nzuri kiukweli"

Japo kimazingira aikujulikana ni kwanini meneja wa diamond platnumz salam sk alifata nini backstage na alikiba japo akuongea moja kwa moja lakini amekiri kushtushwa na kitendo cha kumuona saalam sk back stage na mic kuzima gafla katika show yake baada ya kuperfom nyimbo mbili tu ambazo ni Aje na Macmuga na punde alishuka stejini kumpisha chris brown atumbuize.
Hizi ni baadhi ya comments za mashabiki baada ya tukio ilo kutokea na clip kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
- jim_carter43Fundi mitambo on fleek
- idrisa22Mapovuuuuu yaniniiiiiiiii
- beauty_layneHASIDIIII @sallam_sk
- ____zuu____Team kiba amna akili kweli
- sallam_msenge1Itakuwa ndio mchezo wao lkn mara hii Mungu kamuadhiriiiiii @chuma.ibrahim @beauty_layne
- 25barbiey@daamondthebest halaf iv ina maana Kiba ajapiga hata picha moja na CB mbona sizion?
- sirlumsaid2444Povu huku la nn?
- kanyewest_tzaShame on you
- call_me_kimodo__Cb alivyoona amueluwi kibakuli 😂😂😂 he was like who is this 😂😂😂 panic fo yo own risk
- meinqrytrI wish diamond would fire you as his manager, utarudi kuosha choo iliulipe kodi ya nyumba... Humble yourself dude
- francis_kephaKabura ujaropok fikiLia kwanza unaropoka nn nyie miropo mnao tafut Kiki za miropo yenu mnajionaje
- chubby_255Hupitwi @issahkey sio uzuri wanamuonea naskia uchungu. Maana nimeiona tulishanga Kiba kuiba nyimbo moja na nusu
- peligr0sedan_buddha_niggahHuna maana kumbe na kama umeshiriki au umefanya bas malipo hapa hapa duniani matako makubwa wewe
- benny.bugzNjoo usome comments @cheka255 😂😂😂
- dullahpbJamn Leo Tm Tembo wametoroka mstuni wamekuja mjini kwani Mjin kutam ..Tunawaomba mrd kwenu hamjaitwa huku
Leave a Comment