HABARI: IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA TETEMEKO LA ARDHI YATAJWA
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania Imetoa tamko
kwamba tetemeko la ardhi lililotokea jana kanda ya ziwa kwenye miji kama
Bukoba limesababisha madhara makubwa na watu wengine wamepoteza maisha.
Mamlaka hiyo imesema japo mpaka sasa haijapata idadi kamili ya waliojeruhiwa, idadi ya waliofariki kutokana na tetemeko hilo imefika idadi ya Watanzania wanne ambapo bado juhudi za uokoaji zinaendelea kufanyika. ntakua nakuletea taarifa kamili kila zinaponifikia endelea kuhabarika na Siri za Jamii.
Mamlaka hiyo imesema japo mpaka sasa haijapata idadi kamili ya waliojeruhiwa, idadi ya waliofariki kutokana na tetemeko hilo imefika idadi ya Watanzania wanne ambapo bado juhudi za uokoaji zinaendelea kufanyika. ntakua nakuletea taarifa kamili kila zinaponifikia endelea kuhabarika na Siri za Jamii.

Leave a Comment